Pages

Thursday, November 12, 2009

LIBENEKE LA WATOTO WA MITAANI DAR NGOMA NZITO!

Tatizo la watoto wa mitaani linazidi kukua siku hadi siku katikati ya Jiji la Dar es salaam. Pichani ni kundi la watoto hao wakiwa katika mishemishe zao mtaa wa Azikiwe Posta mpya. Wahusika wa Jiji, jemnalichukuliaje hili swala la hawa watoto?

0 idadi ya maoni: