

Mwanzirishi wa Kituo cha Watoto Yatima cha Makalala, akiwa na mtoto wake Jacopo ...ambaye amejifungua hivi karibuni hapa Cesena. Malaika ambaye ameolewa na Mtanzania Rogger, na kwasasa wapo kwa muda hapa Cesena kwa kumlea mtoto wao huyu, baada ya kukua kidogo Jacopo...watarudi tena huko Makalala. Nasi tunamtakia Jacopo makuzi mema, kila laheri nyingi Mama na Baba Jacopo!
He Director of Nira Children and Youth Orphans (NICHIYOFO) Ms.Edithrose Moyo ( centre) cross-checks the names of Children registered for birth certificate recognition exercise at Mbagala Charambe in Dar es salaam over Weekend. The exercise has been sponsored by UNICEF via Temeke Social Welfare, with her ( in glasses) is Project Officer for strengthening system and structure of child protection in Temeke District, Ms.Mwamvita Kizenga. -Photo by Robert Okanda.
Hapa kuna kuoga humo humo, kunawa humo humo, kufua humo humo, kuoshea vyombo humo humo, kunyweshea mifugo humo humo, kujisaidia humo humo, na hata maji kwa matumizi ya nyumbani, kisha maji hayo yanatiririka kuelekea Ziwa Victoria....na hatujui kabla ya Ziwa Victoria maji haya labda yanapitia vijiji vingine tena kama kawaida ya mito mingi.....Watanzania kazi bado tunayo sana ili kujikomboa na mambo kama haya.












