- Hongera sana bwana Gibson, ni mfano mzuri sana kwetu sisi sote wanaume....kulea watoto wetu bila kuwa na aibu, na kusaidia wake zetu wanapohitaji msaada....kwani kulea watoto ni jukumu la wazazi wote wawili, bila kubagua jinsia.
Monday, February 27, 2012
MAJUKUMU YA ULEZI KWA KARNE HII NI YA WOTE!
- Hongera sana bwana Gibson, ni mfano mzuri sana kwetu sisi sote wanaume....kulea watoto wetu bila kuwa na aibu, na kusaidia wake zetu wanapohitaji msaada....kwani kulea watoto ni jukumu la wazazi wote wawili, bila kubagua jinsia.
0 idadi ya maoni:
Post a Comment