MAKALALA CHILDREN'S HOME
Pages
(Move to ...)
Home
▼
Friday, January 28, 2011
JAMANI UJI WA SHULE NI MTAMU....ACHA TU!
Nakumbuka tulikuwa tukiusubiria kwa hamu sana, wakati upo kwenye foleni unaona hufiki tu! Uji wa shuleni sijui kwanini una mvuto sana....sio tu kwasababu ya njaa, bali una mvuto sana. Kama umepitia na wewe lazima utakumbuka tu!
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment