Friday, April 30, 2010
Thursday, April 29, 2010
Wednesday, April 28, 2010
Tuesday, April 27, 2010
Monday, April 26, 2010
Saturday, April 24, 2010
Friday, April 23, 2010
Thursday, April 22, 2010
Wednesday, April 21, 2010
Tuesday, April 20, 2010
Sunday, April 18, 2010
WATOTO WAWASHUKURU WABUNGE KWA KUWALINDA.
Maandamano hayo yalipokelewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ambaye alisema yoyote yule atakaye kiuka haki za watoto sasa kuona Wrath ya Serikali, awe mzazi, mlezi au Jamii kwa ujumla. Katika Tamasha hili ambapo watoto waliomba haki zao za watoto ziingizwe katika katiba, kwasababu mpaka sasa kulikuwa hakuna katiba hiyo.
Waziri Mkuu aliwataka viongozi wa dini kuombea Taifa hili kuachana na mambo ya uuaji wa watoto, ama kwa hakika alisisitiza sana wananchi katika jambo hili kuelewa sheria hiyo mpya ambayo ni kali sana na inayolenga kuweka maisha ya watoto katika hali ya usalama, uadilifu na ubora zaidi.
Pichani Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akikagua kazi za mikono za watoto wa kituo cha mlimwa Anglican kabla ya kuhutubia katika Tamasha hilo la kulipongeza Bunge na Serikali. Na pia watoto wakiingia uwanjani wakiwa na mabango yao.
-ASANTENI SANA WABUNGE NA SERIKALI KWA KUWEKA SHERIA KALI KWA WATOTO ILI IWALINDE VYEMA, KWANI WATOTO NI TAIFA LETU LA KESHO LAZIMA WAHESHIMIKE SANA NA KUTUNZWA IPASAVYO.
Saturday, April 17, 2010
WEEKEND NJEMA NA JUMAPILI NJEMA SANA KWENU NINYI NYOTE.
KWAYA YA MT.CESILIA - ARUSHA.
BWANA ALIKUWA TEGEMEO LANGU.
BUON WEEKEND - BUONA DOMENICA A TUTTI VOI!
Friday, April 16, 2010
Thursday, April 15, 2010
Wednesday, April 14, 2010
Tuesday, April 13, 2010
Monday, April 12, 2010
Saturday, April 10, 2010
Friday, April 9, 2010
CI VUOLE UN ALLENATORE COME QUESTO PER QUEI GIOCATORI CHE GUADAGNANO TANTO NON FANNO NIENTE!
HUYU KOCHA NAMPENDA SANA!
Thursday, April 8, 2010
Wednesday, April 7, 2010
Tuesday, April 6, 2010
WAZIRI MKUU ASHEREHEKEA PASAKA NA WATOTO.
IL PRIMO MINISTRO DELLA TAZANIA IL GIORNO DI PASQUA INSIEME CON I BAMBINI BISOGNOSI.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akiwapa watoto zawadi ya Pasaka nyumbani kwake Oysterbay - Dar es salaam. Pinda alikula chakula cha mchana cha Pasaka na watoto hao kusheherekea siku hiyo.

KIITALY:
Il primo ministro della Tanzania On. Mizengo Pinda, ha dato dono pasquale ai bambini bisognosi a casa sua Oysterbay, Dar es salaam - Tanzania. Pinda ha pranzato insieme con questi bambini il giorno di Pasqua.
Saturday, April 3, 2010
Friday, April 2, 2010
Thursday, April 1, 2010
KAMWE SITOICHUKIA NCHI YANGU TANZANIA, LAKINI KWA HAYA NITASEMA TU!
Shule hiyo ina zaidi ya wanafunzi 910 ambapo wanatumia madawati 320 tuuu katika madarasa. Sasa hebu niambie upungufu uliopo piga picha hapo uniambie wanasomaje hawa watoto wa A-Town.
Photo by Fredy Azzah.
-Kutoka kwa JIACHIE.